26-02-2025

#Echo_Poste_Buturande

#Echo_Poste_Buturande

Mchungaji mwangalizi wa Poste CBCA BUTURANDE, Rév. Abdias LENGALENGA ali karibishwa pa Vitchumbi. Ilikua katika lengo laku chunguza namna kazi inavyo endelea na namna yaku iboresha zaidi katika poste ambamo ame wekwa kuisimamia. Ziara hizi za kazi zili anzishwa katika section Buturande, section Rubare na sasa ana endelea.

Kulingana na ratiba zake, ata endelea kwenye section Kisharo na section Buramba ili ku timiza malengo ya kazi yake. Aki sindikizwa na mke wake na katibu wa poste pia muhusika wa feza na kiongozi makamu wa wamama katika ofisi yake, hawa wame rudi Buturande kisha ku angalia pia namna kazi za ujenzi wa CAP Vitchumbi zinavyo endelea.

Mchungaji muangalizi na kundi lililo msindikiza wame shukuru makanisa ya eneo la Vitchumbi ambazo ni Paroisse CBCA Vitchumbi-Centre na Paroisse Majengo, kwa kazi wanazo fanya kwa utukufu wa Mungu hata mazingira ni magumu kwa sasa.

0 commentaire(s)

Aucun commentaire pour l'instant...

Laissez un commentaire